Huyuuuuuuuuuu,
ndiye Ibama, Rais wa Marekani, Barack Obama, akipiga danadana za kichwa
wakati alipowasili kwenye mitambo ya kuzaliza umeme ya Ubungo jijini
Dar es Salaam, leo mchana kwa ajili ya kuizindua ramsi mitambo hiyo
ikiwa ni sehemu ya kumalizia ziara yake ya siku mbili kabala ya kuondoka
nchini leo.
DC MPOGOLO: JMAT SAIDIENI SERIKALI KUSULUHUSHA MIGOGORO YA ARDHI KWA JAMII
-
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo ameitaka Jumuiya ya Maridhiano na
Amani Tanzania (JMAT)kwenda kushughulikia changamoto za kijamii kuisaidia
Seri...
1 hour ago

No comments :
Post a Comment