Meneja wa NMB Kanda ya Kusini, Lilian Mwinula akimkabidhi Daktari Mfawidhi wa hospitali ya Ligula-Mtwara, Mohamed Ahmed Gwao sehemu ya msaada wa vyandarua uliotolewa na benki ya NMB kwa hospitali za mkoa wa Mtwara vyenye thamani ya shilingi milioni 10/-. Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni matroni wa hospitali ya Ligula, Theofrida Manoti, Mganga Mkuu wa Wilaya, Joseph Mwiru na Meneja wa tawi la NMB Mtwara, Richard lema.
RAIS SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA BARAZA LA MAASKOFU WA KATOLIKI TANZANIA
(TEC)
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na
kufanya mazungumzo na viongozi wa Kanisa Katoliki nchini kupitia Baraza la
Maa...
17 hours ago

No comments :
Post a Comment