Meneja wa NMB Kanda ya Kusini, Lilian Mwinula akimkabidhi Daktari Mfawidhi wa hospitali ya Ligula-Mtwara, Mohamed Ahmed Gwao sehemu ya msaada wa vyandarua uliotolewa na benki ya NMB kwa hospitali za mkoa wa Mtwara vyenye thamani ya shilingi milioni 10/-. Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni matroni wa hospitali ya Ligula, Theofrida Manoti, Mganga Mkuu wa Wilaya, Joseph Mwiru na Meneja wa tawi la NMB Mtwara, Richard lema.
Mira na Desturi za Watu wa pwani za Kutunzana .
-
Hivi karibuni watu wameshuhudia bint Mariamu Juma wa Kijitonyama jijini Dar
es salaam akizawadiwa kila kitu cha nyumbani pamoja na fenicha za Masofa
kaba...
4 hours ago
No comments :
Post a Comment