Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, January 4, 2014

CHARLES BONIFACE MKWASA NA JUMA PONDAMALI WAANZA KUKIFUA KIKOSI CHA WANAJANGWANI


 Kocha mpya wa makipa wa timu ya Yanga, Juma Pondamali (kushoto) akimfanyisha mazoezi kipa wa timu hiyo, Juma Kaseja wakati wa mazoezi yanayofanyika kwenye Uwanja wa Bora Kijitonyama jijini Dar es Salaam. Pondamali na Boniface Mkwasa, wameteuliwa kukinoa kikosi hiho baada ya kutimuliwa aliyekuwa kocha mkuu kutimuliwa mwishoni mwa mwezi uliopita.
Kocha mpya wa Yanga, Charles Mkwasa (kulia) akiwafua wachezaji wakati wa mazoezi yao yanayoendelea kwenye Uwanja wa Bora Kijitonyama, Dar es Salaam. Kocha huyo ameteuliwa kuchukua mikoba ya kocha mkuu aliyetilimuliwa mwishoni mwa mwezi ulipoita.

No comments :

Post a Comment