Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, January 31, 2014

KINANA AWAZUSHIA NEEMA WAENDESHA BODABODA MBEYA



 Katibu Mkuuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akiwa abebwa na waendesha bodaboda alipofanya nao mkutano leo kwenye Ukumbi wa Mtenda, Sowto, jijini Mbeya, ambapo alizungumzia mambo mbalimbali likiwemo la kuinua kipato chao cha maisha.
Waendesha bodaboda Mkoa wa Mbeya, wakwa wamembeba Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye baada ya kufurahishwa na hotuba yake.
Waendesha bodaboda wakishangilia baada ya Kinana kuwakuna kwa hotuba nzuri iliyolenga kuwasaidia kuboresha  maisha yao.

No comments :

Post a Comment