Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, January 12, 2014

TWANGA PEPETA WALIVYOWAPAGAWISHA WAZENJI GOLF CLUB ZANZIBAR JANA




 Wanamuziki wa bendi ya African Stars 'Twanga Pepeta', wakishambulia jukwaa wakati wa onyesho lao lililofanyika kwenye ukumbi wa Golf Club, mjini Zanzibar jana usiku. Onyesho hilo ni sehemu ya maandalizi ya sherehe za maadhimisho ya sikukuu ya Mapinduzi ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, yatakatoashimishwa kesho katika Uwanja wa Amani, mjini Zanzibar.
 Kalala Junior, akiwachezesha mashabiki wa bendi hiyo.....
 Mashabiki wa bendi ya Twanga Pepeta, wakisebeneka na miondoko ya bendi hiyo wakati wa onyesho lililofanyika ukumbi wa Golf Club.
 Mwimbaji wa bendi hiyo, Luiza Mbutu, akiwa sambamba na wanenguaji wake wa kike wakishambulia jukwaa kwa pamoja.
Mashabiki wakisebeneka.....hapo kati...

No comments :

Post a Comment