Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, January 23, 2014

TUZO ZA TANZANIA BOXING AWARDS WAENDELEA KUHAMASISHA MASHABIKI MBAGALA




Bondia Abuu Abas kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Abdul Zugo wakati wa uhamasishaji wa tuzo za PSPF Boxing Award zilizofanyika katika viwanja vya Zakhem Mbagala Dar es salaam tuzo hizo zinafika tamati january 25 katika ukumbi wa PTA Sabasaba Zugo alishinda kwa K,o ya raundi ya pili picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Hamisi Mpili kushoto akichuana na Khalfani Jumamane wakati waq mpambano wa uhamasishani wa tuzo za PSPF Tanzania Boxing Awards zinazofika tamati january 25 katika ukumbi wa PTA Sabasaba jumanne alishinda kwa point mpambano huo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
MJUMBE WA BFT AISHA MZUNGU AKISALIMIA MASHABIKI WALIOJITOKEZA KATIKA KUANGALIA MIPAMBANO YA MASUMBWI YA KUHAMASISHA TUZO ZA BOXING AWARDS KATIKA VIWANJA VYA zakhem mbagala kushoto ni mjumbe mwingine Zuwena Kibena 'Mama Zugo'

wajumbe wa shilikisho la ngumi za ridhaa wakifatilia mpambano wa masumbwi kutoka kushoto ni Asisha Mzungu, Zuwena Kipingu 'Mama Zugo' na Antoni Mwangonda

Rais wa shirikisho la ngumi za ridhaa nchin Mutta Rwakatale akisalimiana na mjumbe wa shilikisho hilo Zuwena Kipingu

Rais wa shirikisho la ngumi za ridhaa nchin Mutta Rwakatale akisalimiana na mjumbe wa shilikisho Aisha Mzungu



WANDISHI WA HABARI WAKIFATILIA MPAMBANO WA MASUMBWI

BAADHI YA MASHABIKI WALIOJITOKEZA KWENYE VIWANJA VYA ZAKHEM MBAGALA KUANGALIA BURUDANI ZA MAS

No comments :

Post a Comment