Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, January 25, 2012

KOZI YA MCHEZO WA NGUMI KIMATAIFA YAMALIZIKA KIBAHA MKOA WA PWANI


Baadhi ya makocha wa mchezo wa ngumi wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kukabidhiwa vyeti vyao wakati wa mafunzo ya kimataifa ya chezo huo yaliyomalizika Kibaha Mkoa wa Pwani Jana huku wakiwa wameng'alishwa na flana zilizotolewa na SUPER D BOXING COACH kama zawadi kwa makocha hao nnchini.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

Baadhi ya makocha wa mchezo wa ngumi wakiwa katika picha ya pamoja
baada ya kukabidhiwa vyeti vyao wakati wa mafunzo ya kimataifa ya chezo huo yaliyomalizika Kibaha Mkoa wa Pwani Jana.(Picha nawww.superdboxingcoach.blogspot.com)

Mkufuzi Mkuu wa Makocha wa ngumi toka Chama cha Mchezo wa Ngumi za Ridhaa Duniani Joseph Diouf (kulia) akimkabidhi cheti cha kufuzu ukocha wa mchezo wa ngumi Kimataifa , Rajabu Mhamila 'Super D' wakati wa ufungaji wa mafunzi hayo yaliyofanyika Kibaha Mkoa wa Pwani
katikati ni Katibu Mkuu wa Shirikisho la ngumi za Ridhaa Nchini Makore Mashaga
Mkufuzi Mkuu wa Makocha wa ngumi toka Chama cha Mchezo wa Ngumi za Ridhaa Duniani Joseph Diouf, akimkabidhi cheti cha kufuzu ukocha wa mchezo wa ngumi Kimataifa , Rajabu Mhamila 'Super D' wakati wa ufungaji wa mafunzi hayo yaliyofanyika Kibaha Mkoa wa Pwani
kushoto ni Katibu Mkuu wa Shirikisho la ngumi za Ridhaa Nchini Makore Mashaga
Makocha wakiwa na Vyeti Vyao

No comments :

Post a Comment