Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, January 8, 2012

MBIO ZA MARATHON ZAFANYIKA JIMBO LA MTONI ZANZIBAR



Hashim Makame kulia ambaye aliibuka mshindi katika mbio za Marathon za Jimbo la Mtoni Zanzibar akiwa na mwezake wakipita mitaa mbali mbali katika mji wa Zanzibar leo.
Kikundi cha Mchezo wa Sarakasi kikifanya onesho katika hafla ya kukabidhiwa zawadi washindi ambao walishiriki katika mbio za Marathon za Jimbo la Mtoni Zanzibar
Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui akiwatunuku baadhi ya washiriki ambao walishindana katika mbio hizo za Marathon za Jimbo la Mtoni Zanzibar

No comments :

Post a Comment