Evance ambae anaratibu website ya www.elimubora.com akiwa anapokea cheti baada ya kuhitimu kozi fupi nchini India. Amewataka watanzania hususan wadau wa masuala ya IT kufuatilia udhamini mbalimbali wa kozi fupi utolewao na chuo hicho kwa taarifa zaidi ingia katika libeneke lake la www.elimubora.com
MWALIMU PAWA AONGOZA WANAFUNZI WA KAZITA ZIARA YA MAFUNZO KWA VITENDO
MAPANGO YA AMBONI TANGA
-
Mustapha Seifdine, Tanga.
Wanafunzi wa Shule la Msingi Kazita iliyoko Wilayani Muheza mkoani Tanga
wakiongozwa na Mwalimu Jao Kalesi, maarufu kama Mwl. P...
9 hours ago
No comments :
Post a Comment