Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, January 1, 2012

MATUMLA AMGALAGAZA CHEKA KWA POINTI


Bondia Cosmas Cheka na Mohamed Matumla wakioneshana ufundi wa kurusha masumbwi wakati wa mchezo wao uliofanyika uwanja wa Jamuhuri Morogoro juna Matumla walishinda kwa pointi.

Bondia wa kike Asha Nzoa akishangilia baada ya kutangaza msindi kwa kumtwanga mpinzani wake Slma Kihobwa katika mpambano wa utangulizi kabla ya Mohamedi Matumla na Cosmas cheka awajapanda ulingoni jana katika uwanja wa Jamuhuri Morogoro
Asha Nzoa kushoto akioneshana ufundi wa kutupa masumbwei na Salma Kihobwa
kutoka kushoto ni Rashid Matumla,Mohamedi Matumla,Mbwana Matumla na Mkwanda Matumla
Mohamed Matumla

Mohamed Matumla Kuichoto na Cosmas Cheka wakioneshana uwezo wa kutupa Masumbwi jana
Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera akikingiana ngumi na Rais Wa PST Emanuel Mlundwa kabla ya kuanza kwa mpambano jana
Bondia Rashid Matumla (kushoto) akimpa mawaidha mwanae wa kwanza Mohamed Matumla wakati wa mpambano wake na Cosmas Cheka kulia ni Mbwana Matumla akimkandakata
Mbwana Matumla kulia akimganga bondia Mohamedi Matumla wakati wa Mpambano wake na Cosimas Cheka Mohamedi alishinda kwa point

Bondia mohamedi Matuimla akishangilia ushindi baada ya kutangazwa kumchapa Cosmas Cheka
Bondia Cosmas Cheka na Mohamed Matumla wakioneshana ufundi wa kurusha masumbwi wakati wa mchezo wao uliofanyika uwanja wa Jamuhili Morogoro juzi Matumla walishinda kwa pointi.

No comments :

Post a Comment