meneja wa masoko wa kampuni ya Konyagi Joseph Chibehe,(Kulia)
akimkabidhi kepteni wa timu ya Mwambao Selemani Lugono baada ya timu
hiyokuibuka washindi wapili katika ligi ya kawambwa cup iliyomalizika
Mjini Bagamoyo mwishoni mwa wiki Wanaoshuhudiakutokakulia ni Mbunge wa
jimbo hilo Dr Shukuru Kawambwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa BMT Idi
KIpingu
TANZANIA YAPANDA KATIKA VIWANGO VYA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI
-
Na Mwandishi Wetu, JAB
Tanzania imepiga hatua katika viwango vya kimataifa vya Uhuru wa Vyombo vya
Habari, kwa kupanda kutoka nafasi ya 97 mwaka 2024 had...
37 minutes ago
No comments :
Post a Comment