meneja wa masoko wa kampuni ya Konyagi Joseph Chibehe,(Kulia)
akimkabidhi kepteni wa timu ya Mwambao Selemani Lugono baada ya timu
hiyokuibuka washindi wapili katika ligi ya kawambwa cup iliyomalizika
Mjini Bagamoyo mwishoni mwa wiki Wanaoshuhudiakutokakulia ni Mbunge wa
jimbo hilo Dr Shukuru Kawambwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa BMT Idi
KIpingu
TMA YANG'ARA MAONESHO YA NANE NANE 2025.
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imenyakua kombe kupitia maonesho ya
Nane Nane 2025 yaliyofanyika katika Mkoa wa Morogoro. Ushindani wa TMA
kupitia...
11 hours ago
No comments :
Post a Comment