Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, December 10, 2013

Taswira Maalum Kutoka IKULU:Rais Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa na Rais wa kwanza wa Arika ya Kusini Mzee Nelson Mandela enzi za uhai wake



 
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa na Rais wa kwanza wa Arika ya Kusini Mzee Nelson Mandela enzi za uhai wake wakati walimpomtembelea kwenye ofisi ya Taasisi yake jijini Johanesburg tarehe 12 Julai mwaka 2006. Rais Kikwete jana aliondoka kwwneda Afrika ya kusini kuungana na viongozi wengine kwenye ibada ya mazishi ya mzee Mandela.Picha na Freddy Maro-IKULU

No comments :

Post a Comment