Meneja
Mauzo na Usambazaji wa Samsung Tanzania Bw Sylvester Manyara (kushoto)
akimkabidhi funguo ya gari mshindi wa jumla wa promosheni ya Pambika na
Samsung Bw. Juma Musa Ramadhani mkazi wa Tabata Segerea jijini Dar es
Salaam mara wakati wa hafla ya kukabidhi rasmi zawadi hiyo ya Mitsubishi
Double Cabin, tukio linaloshuhudiwa kwa ukaribu na Msimamizi muandamizi
toka bodi ya michezo ya kubahatisha Tanzania Bw. Bakari Maggid wa
kwanza kulia.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment