Meneja
Mauzo na Usambazaji wa Samsung Tanzania Bw Sylvester Manyara (kushoto)
akimkabidhi funguo ya gari mshindi wa jumla wa promosheni ya Pambika na
Samsung Bw. Juma Musa Ramadhani mkazi wa Tabata Segerea jijini Dar es
Salaam mara wakati wa hafla ya kukabidhi rasmi zawadi hiyo ya Mitsubishi
Double Cabin, tukio linaloshuhudiwa kwa ukaribu na Msimamizi muandamizi
toka bodi ya michezo ya kubahatisha Tanzania Bw. Bakari Maggid wa
kwanza kulia.
CAG MSTAAFU UTOUH ATOA USHAURI OFISI YA MSAJILI HAZINA
-
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Mstaafu CAG Ludovick
Utouh ameishauri serikali kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina
kutengeneza timu...
5 hours ago
No comments :
Post a Comment