Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, December 31, 2013

MWAKA MPYA 2014 WAANZA KWA AJALI MBAYA IRINGA NI DAKIKA 20 BAADA YA MWAKA MPYA




Hii ni ajali mbaya ya  piki piki iliyotokea  eneo la  Ilala katika Manispaa ya  Iringa  ikiwa ni dakika 20 baada ya  kuaga mwaka  2013 na kuukaribisha  mwaka  2014 
Hawa ni majeruhi wa ajari hiyo kushoto ni dereva wa  boda boda JOseph Nyegele na kulia ni abiria  wake ambae hajitambui kabisa
Wasamaria  wema  wakisaidia  kushusha majeruhi ambao wamepata ajali ya pikipiki usiku  huu  wakati wakiuanga mwaka 2013 na kuukaribisha mwaka 2014  leo mjini Iringa

No comments :

Post a Comment