Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, December 25, 2013

UZINDUZI WA MFUKO WA UWEZESHAJI MJINI ZANZIBAR JUZI




 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiteta jambo na Wazuri wa Kazi,uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Mwenyekiti wa Mfuko wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi haroun Ali Suleiman,juzi wakati wa Uzinduzi wa Mfuko huo katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimkabidhi cheti Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Chiku Matesa,kutokana na mchango wa Shirika hilo wa Tshs millioni Mia Moja,wakati wa uzinduzi wa Mfuko wa  Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar,katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimkabidhi cheti Naila Jidawi,akiwa Mjumbe wa kamati ya  Mfuko wa  Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar,wakati wa uzinduzi wa mfuko huokatika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort

No comments :

Post a Comment