Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, December 3, 2013

NAIBU WAZIRI MHE. UMMY MWALIMU ASHIRIKI SEMINA YA WASANII KUADHIMISHA SIKU YA UKIMWI DUNIANI



P4-2

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu (kulia), akiteta jambo na Mwakilishi wa Bongo Movie, Devota Mbaga, wakati wa semina hiyo.P5Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu, akichangia mada ya ‘Ukimwi na Vijana’, mara baada ya kuifungua semina ya wasanii katika kuadhimisha Siku ya Ukimwi duniani, iliyoandaliwa na Taasisi ya Benjamin William Mkapa HIV/AIDS Foundation kwa uratibu wa Kampuni ya Motage, Dar es Salaam jana. Wa pili  kulia ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa taasisi hiyo, Dk. Ellen Mkondya, Mwakilishi wa Bongo Movie, Devota Mbaga (kulia)  na msanii wa maigizo, Aisha Amani ‘Walonge’.
P6Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto,  Ummy Mwalimu (wa tatu kulia) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa  Taasisi ya Benjamin William Mkapa, Dk. Ellen Mkondya (wa  pili kulia) pamoja na wasanii, Salama salmin ‘Sandra’  (kushoto), Aisha Amani ‘Walonge’ (wa pili kushoto) na  Mwakilishi wa Bongo Movie, Devota Mbaga, wakisikiliza  mada juu ya Ukimwi na Vijana, iliyokuwa ikiwasilishwa na mtaalamu huyo.
P8Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto,  Ummy Mwalimu na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya  Benjamin William Mkapa, Dk. Ellen Mkondya, wakiwa katika  picha ya pamoja na baadhi ya wasanii mbalimbali wakati wa  ufunguzi wa semina hiyo

No comments :

Post a Comment