Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00
TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania
Tuesday, December 3, 2013
NAIBU WAZIRI MHE. UMMY MWALIMU ASHIRIKI SEMINA YA WASANII KUADHIMISHA SIKU YA UKIMWI DUNIANI
Naibu
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu (kulia),
akiteta jambo na Mwakilishi wa Bongo Movie, Devota Mbaga, wakati wa
semina hiyo.Naibu
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu,
akichangia mada ya ‘Ukimwi na Vijana’, mara baada ya kuifungua semina ya
wasanii katika kuadhimisha Siku ya Ukimwi duniani, iliyoandaliwa na
Taasisi ya Benjamin William Mkapa HIV/AIDS Foundation kwa uratibu wa
Kampuni ya Motage, Dar es Salaam jana. Wa pili kulia ni Ofisa Mtendaji
Mkuu wa taasisi hiyo, Dk. Ellen Mkondya, Mwakilishi wa Bongo Movie,
Devota Mbaga (kulia) na msanii wa maigizo, Aisha Amani ‘Walonge’.
Naibu
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu (wa tatu
kulia) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa, Dk.
Ellen Mkondya (wa pili kulia) pamoja na wasanii, Salama salmin
‘Sandra’ (kushoto), Aisha Amani ‘Walonge’ (wa pili kushoto) na
Mwakilishi wa Bongo Movie, Devota Mbaga, wakisikiliza mada juu ya
Ukimwi na Vijana, iliyokuwa ikiwasilishwa na mtaalamu huyo.
Naibu
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu na Ofisa
Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa, Dk. Ellen Mkondya,
wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wasanii mbalimbali wakati
wa ufunguzi wa semina hiyo
Kocha Kondo nassoro akimwelekeza bondia chipukizi Zainabu Mhamila (Ikota) huku nyuma akielekezwa jinsi ya kutembea na kocha Habibu Kinyogoli wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Ilala Dar es Salaam
DVD MPYA YA MASUMBWI YA BONDIA SAID MBWELWA
DVD MPYA YA BONDIA MTANZANIA SAID MBELWA AKICHEZA MAPAMBANO YAKE NJE YA NCHI KWA MAHITAJI FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI AU PIGA SIMU 0713406938
KAVA YA VIDEO YA SUPER D BOXING COACH
SUPER D BOXING COACH DVD MPYA
DVD MPYA ZA SUPER D BOXING COACH SASA ZIPO SOKONI
DVD MPYA ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MAITAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU
0787 0774 0754 4O6938 0713 0733 AU FIKA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI KARIAKOO DAR ES SALAAM AU FIKA JENGO LA AZAM MSIMBAZI KARIBU NA POLISI POST GEREZANI p.o.box 15493 DAR Email.superdboxingcoach@gmail.com http://www.facebook.com/groups
DVD ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MATAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU 0787/0774/0715/0754/0733/0713-406938 AU FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI 0652755838
SPORTSVIEWS
Visitors
Viwanjani time
DAWA YA NGUVU
TANGAZO
DAWA YA NGUVU ZA KIUME NA MSISIMKO KWA WANAWAKE WASIO NA HAMU YA TENDO LA NDOA AMBAYO HULETA MSISIMKO KWA WANAUME NA WAKE WAKUTANAPO.KWA SASA INAPATIKANA KWA BEI NAFUU HAPA JIJINI DAR ES SALAAM MAKUTANO YA MTAA WA KIPATA NA BARABARA YA MSIMBAZI
No comments :
Post a Comment