Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, December 20, 2013

OKWI ALIVYOPOKELEWA KIFALME NA MASHABIKI WA YANGA HADI MAZOEZINI KUJIANDAA NA MCHEZO WA KESHO DHIDI YA SIMBA


 Mchezaji wa Kimataifa Emmanuel Okwi (kulia) akijumuika na wachezaji wenzake wa Yanga katika mazoezi yao yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Kijitonyama leo asubuhi kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa 'Nani Mtani Jembe' dhidi yao na Simba unaochezwa kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Okwi amewasili jana jioni na kupokelewa kifalme na mashabiki wa Yanga hadi Klabuni mitaa ya Jangwani na kutambulishwa kwa mashabiki na kisha leo kujumuika na wenzake katika mazoezi ya pamoja.
 Emmanuel Okwi (katikati) akiwa na wachezaji wenzake katika mazoezi ya pamoja kwenye Uwanja wa Kijitonyama, leo asubuhi.
 Mazoezi yakiendelea.
 Wachezaji wakipata maji baada ya mazoezi...
 Okwi akizungumza jambo na kocha mkuu wa Yanga Brants.
 Sehemu tu ya mashabiki wa soka waliofurika kwenye uwanja wa Kijitonyama kumshuhudia Okwi.

No comments :

Post a Comment