Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, December 5, 2013

SMILE YATOA ‘ZAWADI YA KASI’



 
Mkurugenzi Smile Tanzania na Uganda Fiona McGloin ( katikati) Kushoto Deo Ndejembi Mkuu wa Mauzo na Madaha Fancis Mkuu wa Mtandau (Kulia)  wakizindua Smile 4G LTE broadband jijini Arusha
Hon Makamba kwenye uzinduzi ya Smile 4G LTE jijini Arusha akiwa na mkurugenzi wa Smile Tanzania na Uganda Fiona McGloin

For Immediate Release
DAR - ES- SALAAM 5Desemba, 2013
Katikakusherekeamwishowamwaka, Smile inafurahakuwatangaziapromosheniya ‘ZawadiyaKasi’, promosheniambayobiasharanawatubinafsiwatawezakununua “Mi-FI” ya Smile, kifaa cha kurushaintanetichenyematumizimengi, saiziyamfukoninakinachotumiabetriiliyojengewandani, kinachokujanakifurushi cha intaneti cha bure cha kuanzia.
MkuuwaMauzoyamojakwamojawa Smile, DeogratiusNdejembi, alisema “TunazinduapromosheniyaMi-Fi ambayoitadumukwamiezimiwili, kwanamnahiiwatuwengizaidiwatawezakufurahiaintanetiya Smile yenyekasizaidikatikamsimuhuuwasikukuukwabeinafuu.
“Biasharanyingi, marafikinafamiliasiotukwambawanahitajikutumiaintanetibalipiawanazidikutegemeaupatikanajiwaintanetiyenyeuboranakasizaidikatikashughulizao. Ili kuwasaidiawatuhawa, tunatoavifaavyetuvyakurushiaintanetivyaMi-FikatikabeiyapromosheniyaTsh 149,000 tu.Piatutawekakifurushi cha GB 5 kwenyekifaahicho,” aliongezaBw. Ndejembi.
Kifaahichochenyeuzitomdogonaukubwasawanasimundogoyamkononihufanyakazikama modem napiaMi-Fi inawezakuunganishampakavifaa 8 kwenyeintanetikwawakatimmoja; vifaahivivinawezakuwa tablet, komputampakato, simuzamkononinavifaavinginevyenyeuwezowakuunganishaintaneti.
"KwakutumiaMi-Fi watumiajiwanawezakuchangiaintanetiyenyekasiya Smile 4GLTE wakiwaofisini, nyumbani au wakiwanjiani. Masaayamawasilianobilayabugudhasasayanawezekanakwakutumia Smile Mi-Fi, ambayoinabetriinayokaamudamrefumpakamasaa 8 yamatumiziyakawaidayaintaneti" alisemaBw.Ndejembi.
Smile Mi-Fi inamuundowakuvutianawakisasa. Kioochakekinaruhusumtumiajikuonakwaurahisihaliyamawasiliano, matumiziyakifurushi, nguvuyamawasiliano, kalendanamuda. Kutumiakifaahikinirahisi, “chomekanatumia” (Plug and Play), nahakihitajikuwana program yoyoteilikiwezekufanyakazi.
"Tuna furahakubwakutangazapromoshenihii, nakutoanafasikwaWatanzaniazaidikujioneakasinaufanisiwamtandaowetuambaounaendasambambanamitandaoyenyekasidunianiilikuendananamahitajiyanayobadilikayajamiiyaWatanzania” alisema Fiona McGloin, Menejawa Smile Tanzania na Uganda.
------ MWISHO ---------
KUHUSU SMILE COMMUNICATIONS TANZANIA
Smile Communications Tanzania nisehemuya Smile Telecoms Holdings Limited (Smile), ambayoilianzishwamwaka 2007 nchini Mauritius. Smile Telecoms Holding inafanyabiasharanchini Tanzania, Uganda, JamhuriyaKidemokrasiayaKongo (DRC) Nigeria naAfrikaKusini. Katikamasokoyakeyote, Smile imekuwamuanzilishikatikakutumiateknolojiazakisasa, kama vile 4GLTE ilikuongezakasiyaupatikanajiwaintanetinakujipenyezakatikasoko.
Witonamalengoya Smile nikutoahudumazamawasilianozilizo bora, rahisikutumianazagharamanafuukwakilamtukatikabara la Afrika, kwakutumiaubunifuwakibiasharanateknolojiazakisasazenyegharamanafuu.
Kwamaswaliyavyombovyahabari:
MuffadalEssaji
Head of Marketing, Smile Communications Tanzania
Barua-pepe: muffadal.essaji@smilecoms.com  
Tel: + 255 (0) 758 811164
TovutiyaSmile: www.smile.co.tz
https://twitter.com/SmileComsTZ

No comments :

Post a Comment