Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, November 21, 2014

K-VANT GIN YADHAMINI BURUDANI ZA MALAIKA BAND TTC CLUB MWISHONI MWA WIKI


 Meneja wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrade watengenezaji wa kinywaji cha K-Vant gin, ,Geofrey Mkunde kushoto  akimkabidhi katoni ya kinywaji hicho Vendelin Meela wakati wa tamasha kubwa liliodhaminiwa na kampuni hiyo ambapo Malaika band
 walikuwa wakitoa burudani katika ukumbi wa Ttc club Chang'ombe mwishoni mwa wiki iliyopita kampuni hiyo imekuwa ikidhamini burudani mbalimbali kwa ajili ya kuwapatia raha wateja wao baada ya kazi za kutwa nzima wengine na maofisa kutoka kampuni hiyo
Mkuu wa mauzo wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrade watengenezaji wa kinywaji cha K-Vant gin, ,Albert Kingu kushoto  akimkabidhi katoni ya kinywaji hicho Vendelin Meela wakati wa tamasha kubwa liliodhaminiwa na kampuni hiyo ambapo Malaika band
 walikuwa wakitoa burudani katika ukumbi wa Ttc club Chang'ombe mwishoni mwa wiki iliyopita kampuni hiyo imekuwa ikidhamini burudani mbalimbali kwa ajili ya kuwapatia raha wateja wao baada ya kazi za kutwa nzima wengine na maofisa kutoka kampuni hiyo

No comments :

Post a Comment