mashindano hayo yanafanyika dawe
ndege wilayani kilindoni mafia mkoa wa pwani na kudhaminiwa na diwani
wa halmashauli wilaya ya mafia, Msomi Ally Kuku yataendelea tena jumatatu kwa kuzikutanisha timu mbalimbali zilizotinga hatua ya 8 bora
MWENEZI PWANI : HOTUBA YA MHE.RAIS SAMIA IMETOA DIRA YA MATUMAINI KWA TAIFA
LETU
-
Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo CCM Mkoa wa Pwani Dkt. David Mramba.
Na Mwandishi Wetu, Kibaha
Katibu wa Siasa ,Uenezi na Mafunzo Cha Mapinduzi...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment