Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, February 8, 2010

MATUMLA APIGWA UJERUMANI NA BENJAMIN SIMON

Bondia wa ngumi za kulipwa anayeshikilia mkanda wa Dunia unaotambulika na Shirikisho la ngumi la IBF Benjamin Simon wa Ujerumani amemdunda bondia wa Tanzania Rashidi Matumla kwa pointi pambano lililofanyika jana usiku nchini Ujerumani.
Mwamuzi namba moja pawel kandyn ametoa pointi 118 kwa 110 mwamuzi namba mbili claus greysel pointi na 119 kwa 109 mwamuzi namba tatu Ben decrosy ametoa pointi 119 kwa 109.
Akizungumzia pambano hilo kocha wa Rashidi Matumla ambaye ndiye mwandaji wa safari hiyo Ally bakari Champion amesema kwamba mchezo huo kwa bondia wake ulikuwa mgumu lakini amecheza mchezo mzuri na amemtumia salam Bondia Franciss Cheka wa Morogoro.

No comments :

Post a Comment