Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, April 15, 2012

HONGERA SAUDA MWILIMA NA KAULI JUMA "BEST", KILA LAKHERI KTK MAISHA YA NDOA



Mtangazazi wa Star TV Sauda Mwilima na mumewe KAuli Juma 'Best' baada ya kufunga ndoa jana katika ukumbi wa Catch uliopo Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam. Baadaye kulifuatiwa na sherehe ktk ukumbi wa Msasani Beach

Mdau, Penny, Dida na mama Penny

Penny, Sinta na Sakina Lyoka


Maharusi wakiingia ktk ukumbi wa Msasani Beach kwa sherehe ya Harusi yao

Ukiondoa Bestman na Matron, pia Maharusi walisimamiwa au walipambwa na vijana wa4 watanashati mjini wanaume na wanawake kutoka kushoto Martin, Diamond, Ommy Dimpoz na mwingine mwisho kulia

Sinta akisalimiana na MC wa harusi hiyo Steve Nyerere

No comments :

Post a Comment