Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, April 23, 2012

UZINDUZI WA PROGRAMU YA 'NIGH WATCH' INAYOENDESHWA NA ZINDUKA WAFANA JIJINI DAR



Mshereheshaji wa shughuli ya uzinduzi wa programu mpya ya kuhamasisha utumiaji wa vyandarua inayoitwa 'Night Watch' Taji Liundi akiongoza.
Mratibu wa uzinduzi wa 'Nigh Watch' Bi. Sadaka Gandi akiongea na wageni waalikwa.


Wageni waalikwa walifuatilia uzinduzi huo.
Mabalozi wa malaria nchini Tanzania.
Mabalozi wa malaria nchini Tanzania Farid Kubanda a.k.a Fid Q, Hamis Mandi a.k.a B-12 na Mwasiti Almasi.

Mabalozi wa malaria nchini Tanzania Hamis Mandi a.k.a B-12, Mwasiti Almasi, Barnaba na Amini Mwinyimkuu.

Mabalozi wakifuatilia uzinduzi.

No comments :

Post a Comment