Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, April 25, 2012

NAIBU WAZIRI WA SAYANSI NA MAWASILIANO AFUNGUA MKUTANO WA MAWASILIANO NCHI ZA (SADC)



 Naibu Waziri wa Sayansi na  Mawasiliano Charles Kitwanga akifungua mkutano wa mwaka wa 32 wa Umoja wa Taasisi za Mawasiliano KUsini mwa Afrika unaofanyika kwa siku mbiliunaojadili mambo mbalimbali katika mawasiliano ya simu ikiwa ni pamoja na mabadiliko ya kidigitali, mkutano huo unahudhuriwa na wajumbe kutoka nchi 14 za (SADC) Zimbabwe, Namibia, Botswana, Malawi Msumbiji, Afrika Kusini Rethoto na Tanzania

 Naibu Waziri wa Sayansi na  Mawasiliano Charles Kitwanga akihojiwa na waandishi wa habari mara baada ya kuzindua rasmi mkutano huo.
 Naibu Waziri wa Sayansi na  Mawasiliano Charles Kitwanga katika picha ya pamoja na wajumbe wa mkutano huo.
 Mkurugenzi mtendaji wa TTCL Said Amir Said akimkaribisha Naibu Waziri wa |Sayansi na Mawasiliano Charles Kitwanga ili kufungua mkutano huo.
 wajumbe mbalimbali kutoka nchi za SADC wakiwa katika mkutano huo.

No comments :

Post a Comment