Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, April 17, 2012

MASHINDA YA NGORONGORO MARATHON YALIVYONOGESHWA NA TIGO


Mratibu wa Matukio wa kampuni ya simu za mikononi ya Tigo,Edward
Shilla(kulia)akimkabidhi mshindi wa pili wa mashindano ya riadha ya
kupiga vita ugonjwa wa Malaria,Restuta Joseph kiasi cha Sh.150,000
mashindano hayo yalifanyika wilayani Karatu juzi,mashindano hayo
yalidhaminiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Tigo.Picha na
mpigapicha wetu
Mshindi wa kwanza kwa wasichana Jackline Sakilu akimaliza mbio
kwa kutumia muda wa saa 1:16:01 katika mashindano ya Ngorongoro
Marathon yaliyofanyika wilayani Karatu juzi yakiwa na lengo la
kupiga vita ugonjwa wa Malaria na yalidhaminiwa na Tigo.Picha na


Wanariadha wakianza kutimua mbio za Ngorongoro Marathon za
kilometa 21 kuanzia lango kuu la Mamlaka ya Hifadhi ya
Ngorongoro(NCAA)zilizofanyika wilayani Karatu juzi,mashindano
yalikuwa na lengo la kujenga uelewa kwa wananchi wa kupiga vita
ugonjwa wa Malaria na yalidhaminiwa na Tigo.Picha na mpigapicha
wetu

No comments :

Post a Comment