Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, April 24, 2012

WAREMBO MISS CHANG'OMBE WAANZA KUPEWA SOMO



Warembo wanmaotarajia kuwania umalkia wa
mashindano ya Miss Chang'ombe, wakiwa katika
mazoezi ya awali jana kwenye viwanja vya Hoteli ya
Lamada, Dar es Salaam. Mazoezi ya kukata na shoka
yataanza rasmi Mei 1, mwaka huu na mashindano
itakuwa Juni 9, mwaka huu..
 Mwalimu wa warembo hao,Vumilia Willbrod
akiwaelekeza jinsi ya kusimama walipokuwa wakipiga
picha ya pamoja wakati wa mazoezi hayo.
Mratibu wa mashindano hayo, Thom Chilala
(kushoto), akitoa somo kwa baadhi ya warembo
watakaoshiriki Miss Chang'ombe.
 Mwalimu Msaidizi wa mashindano hayo, Teddy
Chilala (kulia)akitoa maelekezo kwa warembo kuhusu
mavazi yanayotakiwa kuvaliwa wakati wa mazoezi

No comments :

Post a Comment