Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, April 22, 2012

MKUTANO WA TFF WAFANYIKA LEO JIJINI DAR ES SALAAM


Rais wa shirikisho la soka Tanzania (TFF) Leodegar Tenga, akitoa hotuba kwenye mkutano mkuu wa (TFF) wa wajumbe kutoka mikoa yote ya nchini ulioanza leo katika ukumbi wa NSSF WATER FRONTR jijini Dar es salaam mkutano huo ni wasiku mbili Bw.Leodegar Tenga amewataka wajumbe kuheshimu kanuni za soka.
Juliana Mtagi Yasoda Naibu Mkurugenzi wa michezo Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo akitoa msisitizo wakati alipotoa mada katika mkutano huo.
Mjumbe wa kudumu CAF mhe Said El Maamri akitoa msisitizo katika mkutano huo.
Mwenyekiti mstaafu wa FAT Muhidini Ndolanga akisisitiza jambo katika mkutano huo leo.
Wajumbe walioudhuria wakiwa katika mkutano huo.
Mwenyekiti wa Simba, Aden Rage (kushoto) akiwa pamoja na wajumbe wengine wakisikiliza kwa mamkini katika mkutano huo.
Rais wa shirikisho la soka Tanzania TFF Bw.Leodegar Tenga watano kutoka  (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa mkutano.

No comments :

Post a Comment