Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Arumeru Mashariki , Joshua Nassari kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma, Aprili 18,2012.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Mbunge wa Busega, Dr.Titus Kamani akisalimiana na madaktari wanafunzi wa Chuo cha Bugando, Mwanza ambao Aprili 18, 2012 walitembelea Bunge Mjini Dodoma.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MIMEA VAMIZI NI TISHIO KWA IKOLOJIA YA HIFADHI ZETU, BALOZI POLEPOLE
-
Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humprey Polepole amesema uwepo wa mimea
vamizi katika maeneo yaliyohifadhiwa inaathiri na kubadilisha ikolojia ya
mae...
1 day ago
No comments :
Post a Comment