Mkurugenzi
wa kikundi cha uigizaji cha The Original Comedy, Isaya Mwakilasa
'Wakuvanga' akielezea katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es
Salaam leo, jinsi walivyojiandaa kushiriki katika Bonanza la Tigo
litakalofanyika kesho na kesho kutwa kwenye ufukwe wa Coco, Oysterbay
jijini. Kushoto ni Mratibu wa Promosheni wa Tigo, Edward Shila na Alice
Maro ambaye ni Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo.(PICHA NA RICHARD
MWAIKENDA)
NGORONGORO MOTO MOTO BAJETI 2026/2027
-
Na Kassim Nyaki, Dodoma.
Leo tarehe 18 Mei, 2026 waheshimiwa wabunge wataendelea kujadili bajeti ya
Wizara ya Maliasili na Utalii iliyowasilishwa ijumaa...
21 hours ago

No comments :
Post a Comment