Mkurugenzi
wa kikundi cha uigizaji cha The Original Comedy, Isaya Mwakilasa
'Wakuvanga' akielezea katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es
Salaam leo, jinsi walivyojiandaa kushiriki katika Bonanza la Tigo
litakalofanyika kesho na kesho kutwa kwenye ufukwe wa Coco, Oysterbay
jijini. Kushoto ni Mratibu wa Promosheni wa Tigo, Edward Shila na Alice
Maro ambaye ni Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo.(PICHA NA RICHARD
MWAIKENDA)
DKT. MWINYI: CCM HAINA SABABU YA KUKOSA USHINDI
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan.
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Map...
3 hours ago

No comments :
Post a Comment