Mkurugenzi
wa kikundi cha uigizaji cha The Original Comedy, Isaya Mwakilasa
'Wakuvanga' akielezea katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es
Salaam leo, jinsi walivyojiandaa kushiriki katika Bonanza la Tigo
litakalofanyika kesho na kesho kutwa kwenye ufukwe wa Coco, Oysterbay
jijini. Kushoto ni Mratibu wa Promosheni wa Tigo, Edward Shila na Alice
Maro ambaye ni Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo.(PICHA NA RICHARD
MWAIKENDA)
CATHERINE KATELE ATETEA KITI CHA MWENYEKITI WA TUGHE MKOA WA PWANI KWA KURA
33
-
Na Victor Masangu, Pwani
Hatimaye Chama cha wafanyakazi wa serikali na afya (TUGHE) Mkoa wa Pwani
kimefanya uchaguzi wake mkuu na kuweza kumchangua kwa ...
11 hours ago

No comments :
Post a Comment