![]() |
| Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Shetta akisakama jukwaa kama vilivyo mjini Morogoro wakati wa Tamasha la”WAJANJA”lililofanyika mjini humo,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litaendelea katika mikoa ya Mtwara na Tanga likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe kwa shilingi ishirini na tano na kutumia facebook na twitter bure. |
MTENDAJI MKUU WMA AHAMASISHA WANANCHI KUTUMIA MIZANI ILIYOHAKIKIWA
-
WMA - DODOMA
Wakala wa Vipimo (WMA) umewataka wafanyabiashara na wananchi kuacha mara
moja matumizi ya vipimo visivyo rasmi, ikiwemo ndoo, mafungu...
10 hours ago





No comments :
Post a Comment