Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, June 27, 2012

watembelea kituo cha yatima cha friends of DonBosco kimara jijini



Piscus Laswai ambaye pia ni mmoja wa yatima wanaolelewa na kituo cha
Friends of DonBosco kilichopo Kimara jijini akipokea zawadi ya taa zinazotumia mwanga wa jua
kutoka kwa mmoja wa wanafunzi wa shule ya msingi Mgulani ambazo zitawasaidia yatima hao
kujisomea hasa nyakati za usiku kunapokua na tatizo la umeme.
Watoto wanaolelewa katika kituo cha yatima cha Friends of Don Bosco
kilichopo Kimara jijini wakifurahia zawadi za miswaki na dawa za meno za Whitedent
walizopewa na wanafunzi wenzao kutoka shule ya msingi Mgulani waliowatembelea kituoni
hapo hivi karibuni ikiwa ni sehemu ya kufamiana zaidi katika maendeleo ya elimu kwa ujumla.
Watoto yatima wanaoishi kituo cha Friends of DonBosco kimara jijini
wakiwakaribisha wanafunzi kutoka shule ya msingi Mgulani kituoni hapo pindi walipokuja
kuwatembelea yatima hao na kufahamiana zaidi hasa kielimu pamoja na kuwapa zawadi
mbalimbali zenye thamani ya shilingi milioni moja kutoka kampuni ya Chemi & cotex.

No comments :

Post a Comment