Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, June 26, 2012

OMOTOLA JALADE WA NIGERIA AFUNIKA DAR

 


Omotola (kushoto), akiwa na mwenyeji wake Wema Sepetu wakizama ukumbini tayari kwa uzinduzi wa filamu yake. 
 
Msanii wa filamu na muziki kutoka nchini Nigeria, Omotola Jalade Ekeinde, usiku wa kuamkia leo alifunika vilivyo kwa mashabiki wake wa Kibongo waliohudhuria uzinduzi wa filamu ya ‘Superstar’ ya Wema Sepetu katika ukumbi wa Giraffe Hotel, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.

Wema akimpatia maiki Omotola ili aongee maneno machache kwenye uzinduzi huo.
Omotola (kushoto) akibadilishana mawazo na mwenyeji wake Wema Sepetu, baada ya kuketi.
Mhariri wa Gazeti la Ijumaa Wikienda, Paul Sifael (kushoto) akifanya mahojiano na Omotola ndani ya Giraffe Hotel.
Msanii wa filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’, akiwa katika pozi na Omotola.
Paparazi wa magazeti ya Kampuni ya Global Publishers Ltd, Shakoor Jongo (kushoto) akiwa katika pozi na msanii huyo.
Bendi ya Skylight ikitumbuiza kwenye uzinduzi huo.

No comments :

Post a Comment