Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, June 25, 2012

YANGA WAANZA KUJIFUA KUJIANDAA NA KUTETEA UBINGWA WAO WA KOMBE LA KAGAME



Mshambuliaji mpya wa Yanga, Simon Msuva (mbele) akiwaongoza wenzake katika mazoezi ya timu hiyo yaliyofanyika kwenye Ufukwe wa Coco Beach jijini Dar es Salaam jana. Wanaomfuatia ni beki mpya wa klabu hiyo,  Kelvin Yondani na Godfrey Taita. Picha zote na Mpiga Picha wa Habari Mseto Blog
 Nurdin Bakari akijifua.
Nizar Khalfan, (kushoto) akijumuika na baadhi ya wachezaji wenzake wa Yanga wakiwa katika mazoezi.
Kiota kipya Yanga.
Wachezaji wa Yanga wakiwa katika mazoezi mepesi ya pamoja kujiandsaa na mashindano ya Kombe la Kagame yanayotarajiwa kuanza Julai 14 jijini Dar es Salaam.
You might also like:

No comments :

Post a Comment