Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, June 25, 2012

TAMASHA LA WANAUME FAMILY SPESHO LAVUTIA WENGI NDANI YA DAR LIVE


TAMASHA LA WANAUME FAMILY SPESHO LILILOFANYIKA NDANI YA UKUMBI WA DAR LIVE

Msanii Chegge Chibunda kutoka kundi la Wanaume Family akifanya makamuzi ndani ya Dar Live usiku wa kuamkia leo.
Mhe. Temba wa Wanaume Family akishusha burudani kwa mashabiki waliofurika katika ukumbi wa Dar Live usiku wa kuamkia leo.
Hamis Mwinjuma a.k.a MwanaFA akiliteka jukwaa la Dar Live.
Bi. Cheka wa Wanaume Family akifanya makamuzi. Pembeni ni Temba.
Dogo Aslay wa Wanaume Family akiwarusha mashabiki wa Dar Live.
Ferouz akiimba pamoja na umati wa mashabiki uliofurika Dar Live.
Malkia wa mipasho, Khadija Kopa akiwarusha mashabiki wa taarab.
Sehemu ya umati wa watu walioitikia shoo hiyo.
Wasanii wa kundi la Wanaume Family, MwanaFA, Ferouz na Khadija Kopa jana walifunika vilivyo katika ukumbi wa burudani wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam kwenye tamasha la Wanaume Family Spesho.

No comments :

Post a Comment