Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, June 22, 2012

MANJI A APIGA MAGOTI KWA WANACHAMA WA YANGA, ATUA JANGWANI KUFANYIWA USAILI


Mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa klabu ya Yanga, Yusuf Manji, akizungumza jambo jambo na mmoja wa wa wanachama wa klabu hiyo, Rukia Mohamed, wakati alipofika Makao Makuu ya klabu hiyo iliyopo mitaa ya Jangwani jijini Dar es Salaam leo,  ambapo alifika kwa ajili ya kufanyiwa usaili kwa ajili ya uchaguzi mdogo utakaofanyika Julai 15, mwaka huu.
Beki wa zamani wa Klabu ya Simba, aliyekuwa na ndoto lukuki ya siku moja kuvaa jezi ya rangi ya Njano na Kijani na kuichezea Klabu ya Yanga, Kelvin Yondan, (wa Pili kushoto), aliyesajiliwa hivi karibuni akishiriki na wachezaji wenzake wakati akikaribishwa na wachezaji hao alipofika kwa mara ya kwanza kushiriki mazoezi ya timu hiyo, leo yaliyofanyika  Uwanja wa Kaunda Dar es Salaam.

No comments :

Post a Comment