Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, June 26, 2012

Mshindi wa Tigo Beatz akabidhiwa Milioni 10 zake


DSC07396.jpg

BI. ZUMRA MOHAMED
Mkazi wa mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro, Zumra Mohamed (wapili kulia) akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 10, baada ya kuibuka mshindi  wa promosheni inayoendelea ya Tigo Beatz. Zumra anapokea hundi hiyo kutoka kwa Afisa Uhusiano wa Tigo,   Alice Maro . wanao shuhudia ni Mwakilishi wa Huduma kwa Wateja Tigo Kilimanjaro Abubakari Massoli (katikati) na kulia ni Afisa Utawala mkoa wa Kailimanjaro, Hassan Rajabu.Makabidhiano hayo yalifanyika Juni 25, 2012.

No comments :

Post a Comment