Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, June 27, 2012

Mzee wa Viponzo GAZETI LA MAJIRA NATHAN MPANGALA akijipiga msasa US




Mdau Nathan Mpangala mmoja wa wachoraji maarufu wa katuni nchini yuko nchini Marekani katika chuo Kikuu cha Tufts University, Massachusetts,  akihudhuria kozi fupi inayoitwa Nonviolent Conflict and Social Movement.Ni kozi inayohusisha waandishi wa habari, wanaharakati kutoka sehemu mbalimbali duniani kote Fullshangweblog inamtakia kozi njema mdau Nathan na urejee salama kulitumikia taifa lako Tanzania.

Hapa akiandika mambo muhimu yanayojadiliwa  na kufundiswa katika kozi hiyo inayoendelea nchini Marekani.

No comments :

Post a Comment