Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, June 25, 2012

BONDIA WA NGUMI ZA KULIPWA THOMAS MASHALI AMBWAGA MAISHA SAMSONI


BONDIA WA NGUMI ZA KULIPWA THOMAS MASHALI [aka-simba asiyefugika] jumapili usiku ktk ukumbi wa friends corner ulioko manzese jijini dsm alifanikiwa kuutetea vyema ubingwa wake wa taifa unaotambuliwa na TPBO- ktk uzito wa kati [MIDDLE]Pale alipomlazimisha bondia maisha samson kutoka mkoani mbeya kujiuzulu ktk raundi ya 5 ya pambano baada ya kumpa kipigo cha kikatili mpinzani wake huyo,PAMBANO LILIPANGWA KUWA LA RAUNDI 10 .
katika raundi za manzo za pambambo maisha alionyesha kummudu mpinzani wake vilivyo lkn mashali alicharuka mara tu raundi ya tatu ilipoanza na kufanikiwa kumuangusha mpinzani wake ktk raund ya 4 na ya 5 jambo lililopelekea maisha samson kuacha kuendelea na pambano ili kuepusha madhara ambayo yangeweza kumpata zaidi iwapo angeendelea na pambano hilo
 refarii wa pambano hilo alikuwa sakwe mtlya

MAPAMBANO YA UTANGULIZI;-

UZITO-FLY KGS 50.8 [6 ROUND ]
JUMA FUNDI ALIMPSHINDA KWA POINTS SHABANI MADILU
[2] UZITO FEATHER KGS 57 [6 ROUNDS]
JONAS SEGU ALIMSHINDA BONDIA MKONGWE VENANCE MPONJI KWA POINTS

[3] UZITO SUPER LIGHT KGS 63.3  [6 ROUNDS]
ABDALLAH MOHAMEDI [aka prince Naseem] walikwenda sare na bondia yohana mathayo

[4] uzito wa light kgs 60.2 6 rounds
shaban mohamedi ndonga alimpiga bondia mussa hasani kwa knock-out ktk round ya kwanza tu ya pambano

No comments :

Post a Comment