Meneja wa Bia ya Kilimanjaro,George Kavishe akitaja majina ya wanamuziki bora kwa mwaka 2011 wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo.Kampuni ya Bia nchini ndio wadamini wakuu wa michuano hiyo.Kulia ni Mratibu wa tuzo kutoka BASATA Agello Luhala
WAANDISHI 3,357 WAPATA ITHIBATI KUPITIA MFUMO WA TAI HABARI
-
Serikali imeanza kuvuna matokeo ya mageuzi ya kidijitali katika sekta ya
habari baada ya Waandishi wa Habari 3,357 kuthibitishwa na kupatiwa
ithibati nda...
9 hours ago
No comments :
Post a Comment