Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, February 18, 2011

VODA COM YATOA MSAADA KWA WALIOATHILIKA NA MABOMU GONGOLAMBOTO

Mkurugenzi wa mahusiano wa Vodacom Foundation Mwamvita Makamba akiwa amebeba kapu lenye mikate kwa ajili ya waadhirika wa janga la ulipukaji wa mabomu Gongo la mboto waliopo katika kiwanja cha uhuru,Vodacom Foundation ilitoa misaada mbalimbali .
Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakishusha vyakula mbalimbali katika lori lililosheheni misaada ya vyakula mbalimbali kwa ajili ya waadhirika wa janga la ulipukaji wa mabomu Gongo la mboto waliopo katika kiwanja cha uhuru .
Mkurugenzi wa mahusiano wa Vodacom Foundation Mwamvita Makamba pamoja na Meneja wa mfuko huo Yessaya Mwakifulefule wakishusha na kuwakabidhi vyakula mbalimbali wafanyakazi wa Red Cross waliopo katika kiwanja cha uhuru kwa ajili ya kutoa huduma kwa waadhirika wa janga la ulipukaji wa mabomu Gongo la mboto.

No comments :

Post a Comment