Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, February 24, 2011

WAFANYAKAZI WA BENK YA EXIM WACHANGIA DAMU GONGO LA MBOTO


Muhuguzi toka Mpango wa Taifa Damu Salama Bi.Selina Sahani akimtoa Damu Ofisa wa benk ya Exim Bw.Solomoni Zabloni leo wakati wa kuchangia damu kwa wathilika wa mabomu Gongola mboto leo
Baadhi ya Maofisawakiangalia fomu kabla ya kupimwa na kuchukuliwa damu








Ofisa wa Exim bank Bi, Veronika Mtoi akiwa tayali kwa kutolewa damu

Maofisa wa BANK wakisubili kutoa damu


wafanyakazi wa kitemgo cha Damu Salama wakimuhudumia mtoa Damu



wakipimwa presha kabla ya kutoa damu



tunasubili kuchangia Damu







Marketing Executive Bw. Oscar Ruhasha akiwaelekeza utalatibu utakavyokuwa kabla awajanza kutoa Damu




Maofisa wa bank Eximu wakitoa Damu

No comments :

Post a Comment