Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, February 21, 2011

ZANTEL YAJA NA MZUKA KAMILI

cid:image003.jpg@01CBC874.D368E6A0

Huduma ya Mzuka Kamili sasa imeboreshwa zaidi kuwawezesha wateja wa Zantel kupiga simu na kutuma meseji kwa bei ya chini kabisa kuliko mitandao yote nchini. Kupitia huduma hii Mteja wa Zantel atapata SMS 200 bure kila siku kwenda mtandao wowote nchini kuanzia saa 1:15 asubuhi mpaka saa 6:00 usiku.Vile vile Mteja anaweza kupiga simu Zantel kwenda Zantel kwa robo shilingi kwa sekunde kuanzia saa 4:30 usiku mpaka saa 12:59 asubuhi.Mteja anaweza kujiunga na Mzuka kamili muda wowote kuanzia saa 1:15 asubuhi mpaka saa 12:30 asubuhi siku inayofuata. Huduma hii inapatikana nchi nzima kwa wateja wa Zantel pekee.

Kujiunga piga *160# kwa gharama ya Tsh 200 tu kwa siku.

No comments :

Post a Comment