Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Kampuni ya simu Zantel Bw. William Mpinga (kulia) akimkabidhi msaada wa magodoro vyakula pamoja na vitu mbalimbali kwa Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bi. Chiku Galawa kwa ajili ya watu waliopatwa na maafa ya kulipukiwa na mabomu, Gongolamboto leo jumla ya garama ya vitu vyote milioni 20 vilivyotolewa na Kampuni hiyo
TBN WAIPONGEZA BMH KUTIMIZA MIAKA KUMI TANGU KUANZISHWA KWAKE
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH), Profesa Abel
Makubi akizungumza na wahariri, pamoja na watendaji kutoka Tanzania
Bloggers Netw...
2 days ago
No comments :
Post a Comment