NMeneja Mauzo wa Kanda Kampuni ya Konyagi Bw. Narcius Ngaillo akizungumza na waandishi wa habari Dar Es Salaam leo ambapo wamezamini kusafishwa kwa mazingira ya fukwe Bahari ya Hindi itakayofanyika kesho na Mgeni rasmi ni Msaiki Meya wa Jiji Bw. Didasi Masabuli
Baadhi ya vibarua wa Mamlaka ya Bandari Tanzania 'TPA' wakifanya usafi pembezoni mwa ufukwe wa bahari ya hindi Dar es salaam leo ambapo wadau mbalimbali watajitokeza leo kufanya usafi wa mazingira yanayodhaminiwa na Kampuni ya Konyagi
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
Greetings from Finland. This blog is fun to explore, through other countries, people, culture and nature. Come take a look Teuvo pictures blog. And tell all your friend, why you should visit Teuvo pictures blog. Therefore, to obtain your country's flag rise higher Teuvo blog pictures of the flag collection, Happy Thanksgiving to Teuvo Vehkalahti Finland
ReplyDelete