Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, February 24, 2011

WABUNGE WA AFRIKA MASHARIKI WATEMBELEA KAMPUNI YA ZANTEL


Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki Kamati inayoshughulikia Biashara na Uwekezaji wakiwa Makao Makuu ya Kampuni ya Simu ya Zantel kujua jinsi inavyofanya shughuli zake Dar es salaam








Meneja Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Zantel Zanzibar Bw. Nahaat Mahfoudh akizungumza wakati wa Kamati ya Bunge la Afrika Mashariki linaloshughulikia Biashara na Uwekezaji walipotembelea makao Makuu ya Kampuni hiyo Dar es salaam jana kujua shughuli mbalimbali za Kampuni hiyo






No comments :

Post a Comment