Kocha wa timu ya Taifa Taifa Stars Jan Paulsen akiongea na wachezaji wa timu hiyo wakati wa mazoezi yao ya mwisho yaliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa jioni ya leo jijini Dar es salaam, kabla ya mchezo wao utakaochezwa kwenye uwanja huo kesho kabla ya Taifa Stars kufanya mazoezi walizana wachezaji wa timu ya taifa ya Algeria.
GUTERRES: TANZANIA NI ‘MFANO WA AMANI DUNIANI ’
-
"Tanzania inaendelea kuwa mfano wa amani na mshikamano wa kijamii barani
Afrika na duniani kote."
Hayo ni maneno ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mhe...
2 hours ago



No comments :
Post a Comment