Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamishna Msaidizi Mwandamizi, Mohamed Mpinga (kushoto) akimshukuru Mkurugenzi wa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo baada ya kupatiwa na TBL msaada wa fulana na kofia vyenye thamani ya sh. mil. 10 kwa ajili ya maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama yatakayofanyika mkoani Kagera kuanzia Oktoba 3-8, mwaka huu. Hafla hiyo ilifanyika Dar es Salaam juzi.
GUTERRES: TANZANIA NI ‘MFANO WA AMANI DUNIANI ’
-
"Tanzania inaendelea kuwa mfano wa amani na mshikamano wa kijamii barani
Afrika na duniani kote."
Hayo ni maneno ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mhe...
2 hours ago
No comments :
Post a Comment