Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, September 3, 2011

WAREMBO WA VODACOM MISS TANZANIA WATEMBELEA KIWANDA CHA TBL

Brewmaster wa kampuni ya bia ya TBL Mr Justino Jekela akitoa maelezo kwa warembo wanaoshiriki katika shindano la Vodacom Miss Tanzania wakati walipotembelea katika kiwanda hicho Ilala jijini Dar es salaam ili kujionea na kujifunza shughuli mbalimbali zinazofanyika kiwandani hapo.
Warembo wakiingia katika kiwanda cha TBL wakati walipotembelea kiwandano hapo mchana huu.
Meneja wa kinywaji cha Redds Victoria Kimaro akizungumza na waandishi wa habari wa kituo cha Televisheni cha Chanel Ten, mara baada ya warembo wanaoshiriki katika shindano la Vodacom Miss Tanzania 2011 kutembelea kiwanda hicho,

No comments :

Post a Comment