Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, September 22, 2011

TAMASHA LA KWANZA LA BIA KUFANYIKA NCHINI



Manager wa bia ya Kilimanjaro George kavishe akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar leo akitangaza udhamini wa tamasha la bia litakalofanyika jijini Dar es Salaam wakishirikiana na bongo 5 media. kulia ni afisa uhusiano wa kampuni ya bia Doris Malulu
Hapa mratibu wa matutikio wa kampuny ya Bongo 5 media Olive nimagaakitoa shukrani zake mbele ya waandishi wa habari

No comments :

Post a Comment