Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, October 11, 2013

CRDB BANK YATOA CHAKULA CHA JIONI UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON DC



 Waziri wa Fedha Dkt. Wiliam Mgimwa akiongea machache wakati wa chakula cha jioni kilichoandaliwa na CRDB ubalozi wa Tanzania nchini Marekani  kulia kwake niBalozi wa Tanzania Marekani na Mexico Mhe. Liberata Mulamula.
 Katibu Mkuu Wizara ya fedha Dkt. Silvacius Likwelile aliyesimama akisalimia ujumbe wa  Tanzania pamoja na baadhi ya watanzania waishio Marekani kabla ya kuanza kwa hafla ya chakula cha jioni ubalozi wa Tanzania – Marekani.
 Balozi wa Tanzania Marekani na Mexico Mhe. Liberata Mulamula akitoa utambulisho wa viongozi wakati wa chakula cha jioni kwa ujumbe wa Tanzania na baadhi ya watanzania waishio Marekani.
 Mkurugenzi Mkuu wa CRDB Bank Dkt. Charles Kimei akiongea na ujumbe wa Tanzania na watanzania waishio Marekani  juu ya huduma mpya za kibenki kwa ajili ya Diaspora  na maboresho ya huduma ya Tanzanite.
 Kutoka kulia Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano Dkt. Wiliam Mgimwa, Waziri wa Fedha Zanzibar Bw. Yusuph Mzee, Naibu Gavana wa BOT Dkt. Natu Mwamba wakati wa chakula cha pamoja.


Kutoka kulia wachumi Wizara ya Fedha Bw. Pima Patrick na Erasto Kivuyo wakijipatia chakula cha jioni.
 
Picha zote na Bi. Ingiahedi Mduma na Bi Eva Valerian – Washington DC

No comments :

Post a Comment